Jamani Foundation yatoa msaada wa madawati 150 kwa shule Tatu za Manispaa ya Ilala
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), imepoke amchango wa madawati 150 kutoka Taasisi ya JAMANI (Jamani Foundation) kwa ajili ya shule za msingi tatu za manispaa ya Ilala. Shule zilizonufaika na msaada huo ni Umoja, Kigilagila na Muungano.
English