Matokeo ya Sensa ya watu na Makazi iliyofanyika mwaka 2022 nchini Tanzania yalibainisha kuwa, asilimia 34.5 ya watanzania wote ni vijana ambao ndio nguvu kazi ya Taifa. Serikali imeendelea na jitihada mbalimbali za kuhakikisha vijana wanahusishwa kikamilifu katika miradi na programu za maendeleo kupitia mafunzo ya ujuzi na Ufundi stadi ili kupunguza tatizo la ajira kwa vijana katika ngazi zote.
News
Vijana kutoka Kaya maskini na wanaoishi katika mazingira magumu hapa nchini wameshauriwa kuchangamkia fursa za Mafunzo ya Kukuza na Kuendeleza Ujuzi yanayotelewa na Serikali kupitia vituo mbalimbali vya Mafunzo ya Elimu ya Ufundi na Ufundi Stadi.
January 30, 2023
Mfuko wa Kuendeleza Ujuzi (SDF) kupitia Mpango wa Ufadhili kwa Vijana Kutoka Kaya Maskini na Wanaoishi Katika Mazingira Magumu (Bursary Scheme) umefanikiwa kunufaisha takribani vijana 600 kutoka katika visiwa vya Unguja na Pemba Zanzibar.
January 20, 2023
MFUKO WA KUENDELEZA UJUZI WAFIKIA KAYA MASKINI 600 - ZANZIBAR
December 21, 2022
MFUKO WA ELIMU WA TAIFA WATUMIA MILIONI 750 UJENZI WA SHULE YA MTAALA WA KIINGEREZA JIJINI DODOMA.
November 14, 2022
PROF. MKENDA AHIMIZA WANANCHI KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU
November 11, 2022
TAASISI ZA ELIMU ZAKUMBUSHWA KUSHIRIKISHA WAHITIMU KUKUSANYA RASLIMALI ZA KUBORESHA MIUNDOMBINU
October 26, 2022
UFADHILI WA TEA KATIKA UJENZI WA MABWENI WACHANGIA UFAULU WA WANAFUNZI
September 27, 2022
MAKAMU WA RAIS, DKT. PHILLIP MPANGO APEWA MAELEZO KUHUSU UTEKELEZAJI WA MFUKO WA KUENDELEZA UJUZI (SDF)
September 13, 2022
BILIONI 8.9 KUTUMIKA KATIKA MIRADI YA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA ELIMU NCHINI KATIKA MWAKA WA FEDAHA 2022- 2023.
August 04, 2022